Mkurugenzi wa idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Mobhare Matinyi ametembelea
Makao Makuu ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na kukutana
na Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA, Mussa
Juma Kuji, na kisha kufanya kikao kifupi na Menejimenti ya TANAPA jijini,
Arusha.
Bw. Mobhare Matinyi atafanya Ziara ya siku 3 kutembelea
Hifadhi za Taifa kuanzia Jana tarehe jana Machi 5 2024 na kujionea shughuli za
Utalii na Uhifadhi na kukagua miundombinu hasa barabara katika Hifadhi ya Taifa
Serengeti.
0 Maoni