Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri, Makatibu
Wakuu pamoja na timu ya viongozi na wataalam wengine wa Serikali kuhusu hali ya
athari za mvua katika mkoa wa Lindi, kwenye Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu
Oysterbay Jijini Dar es Salaam, Februari 07, 2024. Kikao hicho kimehudhuriwa na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama na
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni