Kamati ya Bunge yakagua ujenzi Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali

 

Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.

Kaimu Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Mark Mulwambo akitoa maelezo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kabla Kamati hiyo kuanza kukagua ujenzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.

Kaimu Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Mark Mulwambo (kushoto) akifafanua jambo kwa Mhe. Abdallah Mwinyi, mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakati wa ziara ya Kamati hiyo ya kukagua ujenzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.

Picha ya pamoja ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria; viongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria; watendaji wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali; mkandarasi SUMA JKT; na mshauri elekezi TBA baada ya kukagua ujenzi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.

Chapisha Maoni

0 Maoni