Boti yazama Coco Beach ikiwa na watu tisa

 

Habari zilizotufikia zinaeleza kuwa boti ndogo inayofanya utalii wa majini na kuvua samaki imezama baharini katika eneo la Coco Beach Jijini Dar es Salaam.

Taarifa za awali zinaonesha kwamba boti hiyo ilikuwa na watu tisa na wote wameokolewa.

Jeshi la zimamoto na uokoaji kwa kushirikiana na polisi wanamaji wanaendelea na zoezi la kuivuta boti hiyo.

Chapisha Maoni

0 Maoni