Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa,
Mhe. Ali Mwadini amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya
Ufaransa, Mheshimiwa Emmanuel Macron,
katika halfa iliyofanyika katika Ikulu ya Ufaransa ya Élysée jijini
Paris. Baada ya tukio hilo, Balozi Mwadini na Mhe. Rais Macron walizungumza
machache yanayohusu kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Ufaransa.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa,
Mhe. Ali Mwadini amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya
Ufaransa, Mheshimiwa Emmanuel Macron,
katika halfa iliyofanyika katika Ikulu ya Ufaransa ya Élysée jijini
Paris. Baada ya tukio hilo, Balozi Mwadini na Mhe. Rais Macron walizungumza
machache yanayohusu kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Ufaransa.
0 Maoni