Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Balozi wa India nchini, Binaya Srikanta Pradhan kabla ya
mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma kuaga, 15, Novemba
2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Balozi wa India nchini, Binaya Srikanta Pradhan, ofisini kwa
Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma kuaga, 15, Novemba 2023. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
0 Maoni