Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe,
Novemba 23, 2023. Wa tatu kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu pamoja na
viongozi wakipiga makofi baada ya Waziri Mkuu kuweka jiwe la msingi la ujenzi
wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Novemba 23, 2023. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya
Mkoa wa Songwe, Novemba 23, 2023. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt.
Godwin Mollel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dkt. Francis Michael baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Novemba 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akikagua chumba cha maabara ya Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Novemba 23,
2023. (Picha na Oisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni