Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mgeni wake Rais
wa Romania Mhe. Klaus Iohannis wakati
Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa kwenye hafla ya kumuaga baada ya
kukamilisha ziara yake nchini Tanzania, katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es
Salaam tarehe 19 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Romania
Mhe. Klaus Iohannis Ikulu Jijini Dar es
Salaam wakati wa hafla ya kumuaga baada ya kukamilisha ziara yake nchini
Tanzania tarehe 19 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Romania
Mhe. Klaus Iohannis Ikulu Jijini Dar es
Salaam wakati wa hafla ya kumuaga baada ya kukamilisha ziara yake nchini
Tanzania tarehe 19 Novemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mgeni wake Rais wa Romania
Mhe. Klaus Iohannis, Ikulu Jijini Dar es
Salaam baada ya kukamilisha ziara yake nchini Tanzania tarehe 19 Novemba 2023.
0 Maoni