Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akinyanyua juu Tuzo kutoka Bodi ya Ushauri ya Kupambana na Rushwa Afrika
mara baada ya kukabidhiwa wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mapambano
dhidi ya Rushwa Barani Afrika yaliyofanyika katika ukumbi wa Nyasa uliopo
kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa AICC Jijini Arusha tarehe 11 Julai,
2023.
0 Maoni