Akizungumza baada ya kuwaapisha Rais Samia ametaja sababu za kuwateua viongozi wanne akiwemo WIlliam Lukuvi, Abdalah Bulembo , Haji Omar, Balozo Rajab Luhwavi amesema tunakokwenda kuna kazi kubwa ya kuoanisha siasa na maendeleo yetu ya jamii
Amesema siasa tumeiachia chama completely lakini kule kwenye chama kuna nenda rudi vuta nikuvute nilimteua Mkuchika kuwa Waziri mwenye kazi maalumu hii ndiyo kazi maalumu”
“Peke yake asingeweza kufanya kwahiyo nimemteulia mavererani wenzie hawa waende wazame huko chini watuambie nini kinakosekana jamii ikoje na siasa na siasa zetu nchini zinaendaje mambo yakoje waende wakatutafutie huko na waje na mapendekezo nini tufanye”
0 Maoni