Madonna ameruhusiwa
kutoka hospitali na sasa yupo nyumbani na anajisikia vyema, baada ya kulazwa chumba
cha wagonjwa mahututi (ICU).
Taarifa za
kuugua kwake zilitolewa na meneja wake, ambaye alisema msanii huyo anasumbuliwa
na maambukizi makali ya bakteria.
Madonna
mwenye umri wa miaka 64, alikuwa anatarajiwa kuzindua ziara yake ya muziki
iitwayo 84-date tour, mwezi ujao.
0 Maoni