Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa
Nyawilimilwa katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Geita
tarehe 13 Oktoba, 2025.
Sehemu ya
Wananchi wa Nyawilimilwa mkoani Geita waliohudhuria mkutano wa hadhara wa
Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan,
tarehe 13 Oktoba, 2025.
Sehemu ya
Wananchi wa Nyawilimilwa mkoani Geita waliohudhuria mkutano wa hadhara wa
Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan,
tarehe 13 Oktoba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya
Uchaguzi Mgombea Ubunge Jimbo la Geita Ndugu Joseph Kasheku Musukuma mara baada
ya kuhutubia wananchi wa Nyawilimilwa mkoani Geita tarehe
13 Oktoba, 2025.




0 Maoni