Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi wa
Mchinga katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Lindi tarehe
25 Septemba, 2025.
Sehemu ya
wananchi wa Mchinga, mkoani Lindi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe
25 Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya
Uchaguzi ya CCM, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete mara baada ya
kuhutubia wananchi wa Jimbo hilo mkoani Lindi tarehe
25 Septemba, 2025.
Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Mchinga Salma Kikwete akionyesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM,
aliyokabidhiwa na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
mara baada ya kuhutubia wananchi wa Jimbo hilo mkoani Lindi tarehe
25 Septemba, 2025.




0 Maoni