Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya
Uchaguzi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete mara baada
ya kuhutubia wananchi wa Chalinze katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi za
CCM tarehe 28 Septemba, 2025.
Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete akiwa ameshikilia Ilani ya
Uchaguzi ya CCM, mara baada ya kukabidhiwa na Mgombea wa nafasi ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi
za CCM tarehe 28 Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze Ndugu
Ridhiwani Kikwete katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi za CCM tarehe 28
Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa
Chalinze katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Pwani tarehe
28 Septemba, 2025.




0 Maoni