Katibu Mtendaji TARA apatiwa maelezo ya miradi ya TARURA

 

Katibu Mtendaji wa Chama cha Barabara Tanzania (TARA) Mhandisi Hangai Bishanga akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Bi. Catherine Sungura, kuhusu namna TARURA wanavyotekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya barabara nchini.

TARURA inashiriki mafunzo ya usimamizi wa mikataba kwenye miradi yanayoendelea katika hoteli ya Gold Crest jijini Arusha ambapo TARA imeandaa mafunzo hayo kwa sekta ya usafirishaji nchini.



Chapisha Maoni

0 Maoni