Mtoto wa
aliyekuwa rais wa Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi, Kapteni Abbas Mwinyi
amefariki dunia leo Septemba 25 katika
Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja, Zanzibar.
Kapteni
Abbas Ali Mwinyi ni kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
Abbas Ali
Mwinyi alikuwa mbunge aliyemaliza muda wake na mgombea wa jimbo la Fuoni.
Taarifa rasmi na taratibu za maziko zitatolewa baadae na familia.

0 Maoni