Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge
Jijini Dodoma kwa ajili ya kuongoza waombolezaji kuaga mwili wa Spika Mstaafu
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai tarehe
10 Agosti, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiposhiriki
ibada ya kuaga Mwili wa aliekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Hayati. Job Ndugai
katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo August 10,2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson wakishiriki
ibada ya kuaga Mwili wa aliekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Hayati. Job Ndugai
katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo August 10,2025.
Viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Rais
Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete wakishiriki ibada kabla ya kuaga mwili wa Spika
Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai
katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma tarehe 10 Agosti, 2025.
0 Maoni