Rais Samia aweka jiwe la Msingi Shule ya Sekondari ya Amali

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Amali ya Mwamapalala iliyopo wilayani Itilima mkoani Simiyu. Rais Mhe. Dkt. Samia ameweka jiwe hilo la msingi kwa niaba ya shule zote 103 za Sekondari za Amali nchini tarehe 18 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Amali ya Mwamapalala iliyopo wilayani Itilima mkoani Simiyu. Rais Mhe. Dkt. Samia ameweka jiwe hilo la msingi kwa niaba ya shule zote 103 za Sekondari za Amali nchini tarehe 18 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongea na wananchi wakati akifungua Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni