Wakili Mkuu wa
Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa
Serikali wakati akifungua mafunzo kwa watumishi hao
yaliyofanyika Jijini Arusha.
Naibu Wakili Mkuu wa
Serikali, Bi. Alice Mtulo akitoa neno la utangulizi wakati wa ufunguzi wa
mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yaliyofanyika Jijini
Arusha.
Dakitari Bingwa wa
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Garvin Kweka akitoa mada kuhusu namna ya
kukabiliana na msongo wa mawazo wakati wa mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya
Wakili Mkuu wa Serikali yaliyofanyika Jijini Arusha.
Mratibu wa Kusimamia
Magonjwa yanayoambukiza wa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dar
es Salaam, Dkt. Aisha Zukheri akitoa mada kuhusu Magonjwa yanayoambukiza kwa
watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini Arusha.
Mkufunzi wa Chuo cha
Utumishi wa Umma Tanzania, Dkt. Hosea Njovango akitoa mada kuhusu Maadili ya
Utumishi wa Umma kwa watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini
Arusha.
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano mkuu kwa watumishi wa Ofisi hiyo Jijini Arusha.
0 Maoni