Misa ya kusimikwa rasmi Papa Leo yaanza St Peter's Square

 

Misa ya kusimikwa rasmi Papa Leo XIV imeanza katika Kanisa la St Peter's Square, ili kuanza rasmi kutumikiwa wadhifa huo wa kuliongoza Kanisa Katoliki Duniani.

Papa Leo walichaguliwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki mapema mwezi huu, kufuatia kifo cha mtangulizi wake Papa Francis.

Papa Leo ni papa wa 267, na ni papa wa kwanza kushika nafasi hiyo kutoka taifa la Marekani.



Chapisha Maoni

0 Maoni