Majaliwa awasili Somanga kujionea athari za miundombinu

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua miundombinu ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Lindi ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.

Mheshimiwa Waziri Mkuu Majaliwa ameambatana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stegomena Tax pamoja na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega.




Chapisha Maoni

0 Maoni