Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC)Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho Januari 31, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC)Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kusafiri kuelekea Harare, Zimbabwe kesho Januari 31, 2025 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
0 Maoni