Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF)
limeifungiwa klabu ya Simba mechi moja kucheza bila mashabiki na kuitoza faini
ya dola 40,000, kutokana na vurugu zilizojitokeza katika mchezo dhidi ya SS
Sfaxien uliofanyika Desemba 15, 2024.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF)
limeifungiwa klabu ya Simba mechi moja kucheza bila mashabiki na kuitoza faini
ya dola 40,000, kutokana na vurugu zilizojitokeza katika mchezo dhidi ya SS
Sfaxien uliofanyika Desemba 15, 2024.
0 Maoni