Mbwa 22 walioua watoto wawili Rukwa wauawa

 

Uongozi wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa umefanikiwa kuua kundi la mbwa wazururaji 84, wakiwamo mbwa 22 wanaodaiwa kuhusika katika tukio la kuwashambulia watoto wawili na kuwaua.

Kufuatia tukio hilo la kushambuliwa watoto na mbwa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa iliamua kununua bunduki moja na kuanza kufanya msako wa kuwaua mbwa wote wazururaji.

Chapisha Maoni

0 Maoni