EWURA yatangaza bei za mafuta kwa mwezi Desemba

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano ya tarehe 4 Desemba 2024 saa 6:01 usiku.

Kwa mwezi Desemba 2024, bei za rejareja na za jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia.


Kwa taarifa yote kuhusu bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa bonyeza linki hii hapo chini:-

https://www.ewura.go.tz/wp-content/uploads/2024/12/Cap-Prices-for-December-2024-Kiswahili.pdf

Chapisha Maoni

0 Maoni