Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili viwanja vya Karimjee leo Desemba 02, 2024 kuuga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ataongoza kuaga mwili wa marehemu Dkt. Faustian Engelbert Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika.
Naibu Waziri
Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Waziri Mkuu
Mhe. Kassim Majaliwa leo Desemba 02, 2024 alipowasili viwanja vya Karimjee kuuga
mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya
Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile.
Naibu Waziri
Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Spika wa Bunge
Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo Desemba 02, 2024 alipowasili viwanja vya Karimjee kuuga
mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya
Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile.
Naibu Waziri
Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Desemba 02, 2024 akisaini
Kitabu cha Maombolezo kwenye msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi
mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Marehemu Dkt.
Faustine Ndugulile, katika viwanja
vya Karimjee.




0 Maoni