Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza waombolezaji kuaga miili ya watu waliofariki baada ya kudondokewa na jengo katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kuongoza waombolezaji kuaga miili ya watu waliofariki baada ya kudondokewa na jengo katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waombolezaji
wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipozungumza nao kabla ya kuaga
miili ya watu waliofariki baada ya kudondokewa na jengo katika eneo la Kariakoo
jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limefanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja
jijini Dar es Salaam, Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) wakiwa wamebeba miili ya watu waliofariki baada ya kudondokewa na jengo katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa akikagua muendelezo wa zoezi la uokoaji katika jengo
lililodondoka eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam na amesisitiza kuwa zoezi
hilo ni endelevu hadi atakapotolewa mtu wa mwisho aliyekwama kwenye jengo hilo.
Novemba 18, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Maoni