Rais Mwinyi kumwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura SADC

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi anaratajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) katika mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC utaofanyika Novemba 20, 2024.



Chapisha Maoni

0 Maoni