Jaji
kiongozi wa Mahakama ya Jumuiya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Jaji
Yohane Masara akizungumza wa Viongozi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na
Mahakama hiyo wakati wa ziara ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi
alipotembelea Mahakama hiyo kwa lengo la kujionea jinsi Mahakama hiyo
inavyotekeleza makujumu yake jijini Arusha.
Jaji
kiongozi wa Mahakama ya Jumuiya ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Jaji
Yohane Masara akizungumza wa Viongozi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na
Mahakama hiyo wakati wa ziara ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi
alipotembelea Mahakama hiyo kwa lengo la kujionea jinsi Mahakama hiyo
inavyotekeleza makujumu yake jijini Arusha.
Wakili Mkuu
wa Serikali, Dkt. Ally Possi (kushoto) akipokea zawadi kutoka Rais wa Mahakama
ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Jaji Nestory Kayobera baada ya kikao baina
yao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Mahakama hiyo Jijini Arusha.
Wakili Mkuu
wa Serikali, Dkt. Ally Possi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Jarida la Ofisi ya
Wakili Mkuu Rais wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kikao
baina yao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Mahakama
hiyo Jijini Arusha.
0 Maoni