Viongozi
mbalimbali wa Serikali na Sekta Binafsi, Mabalozi pamoja, na familia ya
marehemu tayari wamewasili katika Viwanja vya Karimjee tayari kwa zoezi la
kuaga mwili wa marehemu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki katika zoezi hilo.
0 Maoni