Naibu Wakili Mkuu wa Serikali afungua mafunzo ya uadilifu

 

Wakili wa Serikali Mkuu na Mwenyekiti wa Kamati ya Uadilifu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Vivian Method akizungumza na wajumbe wa Kamati hiyo wakati akimkaribisha Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (hayupo pichani) kufungua mafunzo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa Awamu ya Nne yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akiwa na wakufunzi wa mafunzo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa Awamu ya Nne yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) akiwa na wakufunzi wa mafunzo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa Awamu ya Nne yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo (aliyesimama katikati) akiwa na wajumbe wa Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kufungua mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya Uadilifu ya Ofisi hiyo kuhusu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa dhidi ya Rushwa Awamu ya Nne yaliyofanyika Kibaha Mkoani Pwani.

Chapisha Maoni

0 Maoni