Lissu afika Nyamongo na kuanza kutema cheche

 

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amewasili leo Nyamongo, Tarime Vijiji Mkoani Mara na kutema cheche akiongea na wananchi.

Lissu amefika Mara kwa ajili ya Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo leo atazindua kampeni za CHADEMA kanda ya Serengeti, uzinduzi huo utafanyika Jimbo la Tarime Mjini


Chapisha Maoni

0 Maoni