Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
wanafunzi, wazazi na wananchi mara baada ya kuzindua Shule ya Sekondari ya
Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo
katika kitongoji cha Migeregere kata ya Rwinga, Wilaya ya Namtumbo, Mkoani
Ruvuma jana tarehe 27 Septemba, 2024.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa
Sayansi na Sanaa ya Dakta Samia Suluhu Hassan iliyopo katika kitongoji cha
Migeregere kata ya Rwinga, Wilaya ya Namtumbo, Mkoani Ruvuma jana tarehe 27
Septemba, 2024.
Wanafunzi wa
Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa ya Dkt. Samia
Suluhu Hassan iliyopo katika kitongoji cha Migeregere kata ya Rwinga, Wilaya ya
Namtumbo, Mkoani Ruvuma wakipunga bendera zao kwa furaha wakati wa hafla ya kuzindua shule
yao iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan.
0 Maoni