Shirika la Hifadhi za
Taifa (TANAPA) kwa kushirikiana na Tanzania Smile Safaris limeandaa safari ya
kipekee ya siku tatu, kuanzia tarehe 12 hadi 14 Oktoba 2024. Safari hii
itaanzia Dar es Salaam kupitia Morogoro kwa treni ya SGR kuelekea Hifadhi ya
Taifa Milima Udzungwa.
Safari hii imeandaliwa kwa burudani ya hali ya juu! Chakula kitamu, vinywaji vya aina zote, na muziki mzuri kutoka kwa DJ maarufu vitakufanya usahau shida zako na ufurahie maisha.
Gharama: Kulingana na Daraja la treni 300,000/- Business, 270,000/- Economy. -Gharama zinajumuisha chakula, malazi kwenye mahema, viingilio, na burudani zote.
Kwa mawasiliano zaidi:
0755-559013
0 Maoni