Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi
ya Uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara
(CBE), Profesa Winester Anderson hati ya kiwanja cha Chuo hicho eneo la Mbigili
wilayani Kilolo MKoa wa Iringa, Julai 8, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wasanii wa Bendi ya Mjomba wakicheza sarakakasi katika hafla ya kukabidhi hati ya kiwanja cha Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Mbigili wilayani Kiliolo mkoani Iringa, Julai 8, 2024. Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Maoni