Waziri Mkuu akutana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi Tang Dengjie, Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 21, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi Tang Dengjie, Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 21, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi Tang Dengjie, Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 21, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wa Kamati Kuu wa Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi Tang Dengjie, Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 21, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Chapisha Maoni

0 Maoni