Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wananchi wakati
alipokagua daraja la Nambilanje katika
mto Mbwemkuru linaloungnisha wilaya za Ruangwa na Kilwa mkoani Lindi, Mei 25, 2024. Daraja hilo
limekatika kutokana mvua kubwa zilizonyesha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Daraja la Nambilanje katika mto Mbwemkuru linaloungnisha wilaya za Ruangwa na Kilwa mkoani Lindi ambalo limekatika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikagua uharibufu uliotokea katika daraja hilo, Mei 25, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Vijana wakivusha pikipiki katika mto Mbwemkuru linalounganisha wilaya za Ruangwa na Kilwa mkoani Lindi ambalo limekatika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikagua uharibufu uliotokea katika daraja hilo, Mei 25, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Maoni