Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa
Pakistani nchini, Siraj Khan, ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma Aprili 08,
2024. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya picha ya mlima
Kilimanjaro Balozi wa Pakistani nchini, Siraj Khan, ofisini kwake Bungeni
jijini Dodoma Aprili 08, 2024. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni