Waziri Mkuu afunga Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Bw. Aron Zake Afisa Masoko wa Kamuni ya Uchapishaji Vitabu ya APE alipotembelea na kukagua mabanda mbalimbali ya maonesho ya vitabu na huduma wakati wa Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni; “Tasnia ya Habari ni Fursa za Ubidhaishaji Kiswahili Duniani” (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar (BAKIZA) Dkt. Mwanahija Juma wakati alipotembelea na kukagua mabanda ya maonesho ya vitabu na huduma mbalimbali kwenye Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni; “Tasnia ya Habari ni Fursa za Ubidhaishaji Kiswahili Duniani” (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkurugenzi wa Masoko kutoka Taasisi ya UTT- AMIS Bw. Daudi Mbaga wakati alipotembeleana kukagua mabanda ya maonesho ya vitabu na huduma mbalimbali kwenye Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni; “Tasnia ya Habari ni Fursa za Ubidhaishaji Kiswahili Duniani” (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi Tuzo ya Heshima Mtoto  Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Hayati Ali Hassan Mwinyi,  Abdulla Mwinyi ikiwa ni kutambua mchango wa Hayati Ali Hassan Mwinyi katika kukuza lugha ya kiswahili kwenye Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 lililofanyika katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 lililofanyika katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni