Dkt. Nchimbi aendesha kikao cha Sekretarieti ya NEC

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiendesha Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), iliyofanyika leo Jumanne, Januari 16, 2024, Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, iliyoko Kisiwandui, Unguja, ikiwa ni siku moja baada ya kuteuliwa na NEC ya CCM Taifa kushika nafasi hiyo.

Mtendaji Mkuu huyo wa chama, baada ya kukaribishwa ofisini na kutia saini, alipata wasaa pia wa kufanya mazungumzo na Manaibu Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Anamringi Macha (Bara) na Ndugu Mohammed Said Mohammed Dimwa (Zanzibar).

Chapisha Maoni

0 Maoni