Watu wengi hunywa pombe, hususan msimu huu wa Sikukuu, Ingawa unywaji wa pombe si salama kabisa, hizi hapa ni baadhi ya mbinu za kuwa salama:
• Changu kinywaji kisicho na kileo kama juisi, maji ama mocktail
🧉
• Kunywa maji mengi ili usipungukiwe na maji mwilini 💧
• Usiache hovyo
kinywaji bila uangalizi❌
• Daima panga safari
yako na usiendeshe gari ukiwa umelewa 🚘
• Jisikilize nafsi yako- daima unaweza kusema hapana 👂🏽
0 Maoni