Waziri Mkuu Majaliwa amjulia hali mbunge Tecla Ungele

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Lindi, Tecla Ungele anayepata matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Dodoma, Novemba 21, 2023. Katikati ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Ibenzi Ernest na kulia ni Afisa Muuguzi wa Hospitali hiyo Stanles Mahundo (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni