Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa
23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa
Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
Viongozi pamoja na wageni
mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani
(WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention
Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
Wasanii wa Kikundi cha ngoma za Utamaduni wa asili ya Rwanda wakitumbuiza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
Mwenyekiti wa Baraza la
Utalii Duniani (WTTC) Arnold Donald akicheza kwa madaha ngoma za asili ya
Rwanda wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza hilo unaofanyika kwenye
ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02
Novemba, 2023.
0 Maoni