Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto
Mashaka Biteko leo Oktoba 8, 2023 ameondoka nchini kuelekea nchini Uganda.
Mhe. Dk. Biteko ameenda Uganda kumwakilisha Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho ya
Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Maadhimisho hayo yanatarajiwa kufanyika Kesho Oktoba 9, 2023
nchini humo.
0 Maoni