Uingereza
imefuzu kutinga michuano ya Euro 2024, kwa kupata ushindi mnono wa magoli 7-0
dhidi ya North Macedonia.
Kijana wa
Arsenal Bukayo Saka (21) alikuwa mwiba katika mchezo huo baada ya kufunga hat-trick
na Kane kutupia magoli mawili.
Kwa matokeo hayo
Uingereza inayonolewa na kocha Gareth Southgate, imefanikiwa kushinda kwa
asilimia 100 katika kufuzo Euro 2024.
0 Maoni