Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Yanga kwa kutinga nusu fainali CAFCC
Kupitia akaunti yake katika mtandao wa twitter Rais Samia ameandika “Pongezi kwa Klabu ya Yanga kwa kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup), na kila la kheri katika maandalizi mliyoanza sasa kwa mchezo ujao”
“Mmeandika historia jalili. Mmetuheshimisha sana. Hamasa yangu inaendelea, na sasa imeongezeka. Kaifanyeni kazi.” alisisitiza
0 Maoni