Mwanamfalme Harry amejiunga na wanafamilia wenzake wa kifalme
katika kuhudhuria sherehe za kusimikwa rasmi kuwa mfalme baba yake Charles III
zinazoendelea hii leo.
Mwanamfalme Harry alionekana mwenye utulivu akiwasili huko
Abbey akiongea na binamu zake wanawafalme Beatrice na Eugenie.
Hii ni mara ya kwanza Harry kuonana na familia yake tangu atoe kitabu chake chenye utata kinachoelezea mambo yake na familia kiitwacho, Spare, came out.
Harry amewasili London Ijumaa, lakini inaripotiwa atarejea
Marekani baada tu ya kumalizika kwa sherehe za kuwahi kushiriki siku ya
kuzaliwa mwanae wa kiume.
Mwanae Archie amebakia Jijini Los Angeles akiwa na mama yake
Duchess of Sussex, ambapo ndipo itafanyika sherehe ya kuzaliwa ya mwaka wanne wa
mtoto wao.
Rais Samia Suluhu Hassan atuma salamu za pongezi kupitia ukurasa wake katika mtandao wa twita aliandika
0 Maoni