Makamu wa Rais Dk Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamesindikiza mwili wa aliyekuwa Dobi Ofisi ya Makamu wa Rais Marehemu Jackson Mwakyelu
Baada ya kusindikiza mwili huo uliosafirishwa kwa ndege kwenda Mbeya kwaajili ya maziko Dk Mpango amesema kila aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi kwahiyo na sisi kila mmoja atamrudia muumba wake kwa njia tofauti tofauti.
Ajali hiyo iliyotokea katika eneo la Mbande iliuwa watu wawil akiwemo marehemu Mwakyelu na mpishi wa Makamu wa Rais aliyefahamika kwa jina Emanuel Majanja
0 Maoni