Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Makunduchi, katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 17 Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgombea ubunge wa
Jimbo la Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir, katika muendelezo wa
Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe
17 Septemba, 2025.
Mgombea
wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mke wa Rais wa
Zanzibar Mariam Mwinyi (wa kwanza kulia) katika muendelezo wa Kampeni za
Uchaguzi kwa CCM, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe
17 Septemba, 2025.
Matukio mbalimbali katika Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 17 Septemba, 2025.
0 Maoni