Waziri wa Madini Mh.
Anthony Mavunde amewasili Wilaya ya Namtumbo,Mkoani Ruvuma leo kwa ajili ya
ukaguzi wa maandalizi ya ziara ya Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye
mradi wa madini ya Urani unaotekelezwa na Kampuni ya Mantra Tanzania Ltd.
Tarehe 30.07.2025 Mh.
Rais Dkt. Samia atazindua Kiwanda cha Uchenjuaji madini ya Urani na pia
atazindua rasmi kuanza kwa ujenzi wa mgodi wa Urani na ujenzi wa Mtambo mkubwa
wa kuchenjua madini ya Urani ambao unakadiriwa kuwa gharama ya zaidi ya Tsh 3.06 Trilioni.
0 Maoni